Contest - kyaloalbert (By kyaloalbert)

Gain : -62.11%
Drawdown 95.38%
Pips: 1253.4
Trades 699
Won:
Lost:
Type: Demo
Leverage: 1:100
Trading: Unknown

Contest - kyaloalbert Discussion

Jan 30, 2012 at 04:52
1,630 Views
13 Replies
Member Since Sep 04, 2011   22 posts
Feb 08, 2012 at 17:09 (edited Feb 08, 2012 at 17:11)
Wow 125.00 Lots in work.
You are shorly going for nummber one spot! 😂
Member Since Mar 28, 2011   9 posts
Feb 09, 2012 at 19:49
Vp bwana Kyalo?

Bro umenisurprise hivi kuna jamaa wa kenya anatrade forex... Nimefurahishwa na position ambyo uko keep it up jibidishe upate nafasi 3 bora. kwani watrade manual ama watumia robot? Ahsante
Member Since Sep 16, 2009   116 posts
Feb 09, 2012 at 19:56
kutrade hivi mtu ana hitaji $50000 bure kwa account - sithani ni manual kwa maana trades zinalast 14s zingine...hata hivyo bwana albert hongera sana..
can the pursuit of wealth be automated?
Member Since Mar 28, 2011   9 posts
Feb 09, 2012 at 20:09 (edited Feb 09, 2012 at 20:15)
Dah! simaanishi kipesa bro hata kama ni $500 angekua ametengeza faida ya $2425 kwa mda wa siku 11. Kyalo mpaka sasa amekuza account yake kwa 485%.

Kyalo na Kebaya nafurahi sana kuwakuta kwenye ulimwengu wa Forex trade, je? mumewahi kusikia au kuona mtu unaemjua amefaidika kwa Forex trade? maana nashindwa hivi ni kweli kuna watu wanaishi kwa kutrade? Nijuzeni jamani yoyote anaejua hii lugha hasa wakenya, waTZ na waUG.
Member Since Sep 16, 2009   116 posts
Feb 09, 2012 at 20:38
ndugu biashara ya forex ni murwa sana..imejenga maisha yangu vizuri sana..usife moyo bwana - jipeleke pole pole...trade consistently na utakuwa vyema sana. asante
can the pursuit of wealth be automated?
Member Since Jan 30, 2012   4 posts
Feb 09, 2012 at 20:51
@Ezis, thanks. I usually run them manually after watching my chat.@Peace, Me Mkenya na bado niko Chuo kikuu. Natumia manual lakini nimehakikisha kwamba kila retracement inanipata na nikiachwa, basi sifuatilii kwani bahati pia keshoye. @Kebaya Mwamba, natumia manual, ukiona trade inalast less than 1minute ni tym market volatility hiko juu zaidi. @Peace, sijawahi mwona lakini namjua kwa njia ya mtandao na simu. Alianza mwaka wa 2007 na sasa anakwakwe na bado hajaolewa hila yeye utengeneza pesa mingi sana kwa fx
Money never sleeps
Mtupienga
forex_trader_9987
Member Since Apr 09, 2010   15 posts
Feb 10, 2012 at 06:44
Kazi Nzuri.😎
Member Since Jan 30, 2012   4 posts
Feb 10, 2012 at 08:16

   kebayamwamba posted:
   ndugu biashara ya forex ni murwa sana..imejenga maisha yangu vizuri sana..usife moyo bwana - jipeleke pole pole...trade consistently na utakuwa vyema sana. asante
Shukrani Ndungu.Mawaidha yatujenga sana maishani. Sasa naona maisha yakiwa murwa kwa vili nikitaka pesa za kujitimu kimaisha na open a buy order na maisha yanaendelea
Money never sleeps
Member Since Jan 30, 2012   4 posts
Feb 10, 2012 at 09:36

   kebayamwamba posted:
   kutrade hivi mtu ana hitaji $50000 bure kwa account - sithani ni manual kwa maana trades zinalast 14s zingine...hata hivyo bwana albert hongera sana..
Shukrani
Money never sleeps
Member Since Sep 16, 2009   116 posts
Feb 10, 2012 at 09:42
@kyaloalbert asante naelewa sasa. Nikonyuma kiasi - wakati kinyanyiro ilianza default ilikuwa 1 lot , juzi ndio kapienga alinielezea kuwa mtu anaweza cheza na 20 lots. shukran ndugu pigiania hiyo top 3..uko na baraka ya wakenya wote :)
can the pursuit of wealth be automated?
Member Since Mar 28, 2011   9 posts
Feb 10, 2012 at 10:54

   kebayamwamba posted:
   ndugu biashara ya forex ni murwa sana..imejenga maisha yangu vizuri sana..usife moyo bwana - jipeleke pole pole...trade consistently na utakuwa vyema sana. asante

Asante sana kwa majibu ya kitia moyo. je, unaweza kushare systems unazozitumia kwa forex? Tafadhali sana ikiwa hutojali.
Member Since Jan 08, 2012   5 posts
Feb 13, 2012 at 20:18
Shukrani sana bwana Kyalo kwa kupepea bandera ya Kenya, tia bidii upate nafasi bora. vile Kebaya(@armchairtycoon-tafadhali umfuate kwenye twitter kama haujafanya hivyo) amekuambia trade kama hizi hautaweza kufanya kwa live a/c juu hio itakuwa balaa, lakini kwa ajili ya kushinda na ni demo endelea hivyo.Tunaweza kutana Nairobi tupashane vile hii manbo ya forex inaendelea.Itakuwa poa vijana wengi wakijitosha kwenye hii ulingo wa forex.
I am trading my way to billions coz I am disciplined
Daforexguru
forex_trader_34030
Member Since Apr 13, 2011   1 posts
Jul 27, 2012 at 09:23
Yaonekana kama mawasiliano yalikoma hapa.
Member Since Jan 30, 2012   4 posts
Jul 27, 2012 at 12:25
Bado tuko brother, siku hizi tuko twitter ama fb
Money never sleeps
Sign In / Sign Up to comment
You must be connected to Myfxbook in order to leave a comment
*Commercial use and spam will not be tolerated, and may result in account termination.
Tip: Posting an image/youtube url will automatically embed it in your post!
Tip: Type the @ sign to auto complete a username participating in this discussion.