alikizami151's Feed

Daforexguru
forex_trader_34030 Jul 27, 2012 at 09:26
Alikizami, umeshikilia forex bado?
kyaloalbert
kyaloalbert Feb 09, 2012 at 20:21
Wanaume wenzangu, Niombeeni sana kwa vile muda wote nimekuwa kwa hii biashara mimi hujaribu atleast kuwa nafasi ya kumi bora. Lakini ni asure nyote kuwa nafasi ya kwanza hadi ya tatu itamwendea mmoja kati ya sisi waongea kiswahili. Na trade manual, sina robot lakini nafurahia manual sana kwa vile charts ndizo zinanikeep gainining
Daforexguru
Daforexguru Jul 27, 2012 at 09:24
Vipi Kyalo. Bado unaendelea kutrade?