Alikizami, umeshikilia forex bado?
Wanaume wenzangu, Niombeeni sana kwa vile muda wote nimekuwa kwa hii biashara mimi hujaribu atleast kuwa nafasi ya kumi bora. Lakini ni asure nyote kuwa nafasi ya kwanza hadi ya tatu itamwendea mmoja kati ya sisi waongea kiswahili. Na trade manual, sina robot lakini nafurahia manual sana kwa vile charts ndizo zinanikeep gainining
Vipi Kyalo. Bado unaendelea kutrade?